Sponsored Links
Jumuiya ya Afrika Mashariki imeadhimisha miaka 10 huku viongozi wakitia saini mkataba wa soko la pamoja mjini Arusha.
2009-11-20T20:31:01+00:00
Polisi wa kutuliza ghasia nchini Misri wamedhibiti maandamano ya ghasia karibu na ubalozi wa Algeria.
2009-11-20T16:33:09+00:00
Sierra Leone imezindua mpango wa kuwajumuisha vijana kusaidia kukabiliana na uhalifu Freetown.
2009-11-20T10:58:57+00:00
Uteuzi wa viongozi wawili wasio na umaarufu mkubwa kushika nafasi za juu kwenye muungano wa Ulaya umechagiza maoni tofauti kutoka sehemu mbalimbali.
2009-11-20T13:25:23+00:00
Viongozi wa nchi za magharibi wamemsihi rais Hamid Karzai, kutekeleza mageuzi muhimu Afghanistan.
2009-11-20T00:45:23+00:00
Michael Schumacher , dereva wa mashindano ya magari mwenye mafanikio zaidi katika historia anatarajiwa kurejea kuendeshea timu ya Mercedes, kwa mujibu wa Eddie Jordan mchambuzi wa F1 katika BBC.
2009-11-20T18:07:21+00:00
Kampuni ya Google imetoa vidokezo kuhusu mfumo wake endeshi mpya, ujulikanao kama Chrome OS.
2009-11-20T00:27:18+00:00
Zimbabwe inawaondoa askari wake kwenye migodi ya almasi nchini humo baada ya kupewa onyo na waangalizi wa kimataifa.
2009-11-19T13:09:39+00:00
Ratiba ya fainali za kombe la mataifa ya Afrika 2010 imekwishapangwa na kutangazwa nchini Angola.
2009-11-20T19:27:42+00:00
Shirikisho la soccer duniani, Fifa limekataa ombi la chama cha mpira cha Ireland la kutaka mechi kati yake na Ufaransa irudiwe.
2009-11-20T16:56:12+00:00
Kuna mjadala iwapo mechi kati ya Ireland na Ufaransa irudiwe au la. Mshambulizi Thierry Henry ambaye ujanja wake umesababisha hamasa anaomba mechi irudiwe nayo FIFA ikisema ng'o!
2009-11-20T16:11:40+00:00
Wasimamizi wa mashtaka nchini Ujerumani wanasema wanachunguza matukio mia mbili ya upangaji wa matokeo ya mechi barani Ulaya.
2009-11-20T18:02:01+00:00
Idhaa ya Kiswahili ya BBC inafanya vipindi mbali mbali vya kukumbuka miaka 20 tangu kifo cha hayati Luambo Makiadi, a.k.a Franco, mwanamuziki maarufu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
2009-10-14T14:16:02+00:00
Toleo la wavuti ya BBC Swahili linapatikana kupitia simu za mkononi, PDA na vifaa vingine vya mawasiliano ya mkononi.
2009-11-17T12:29:50+00:00
Elimu kwa vijana kuhusu afya ya uzazi.
Lilikuwa pambano la kipekee, ambalo bara la Afrika halijabahatika kushuhudia kwa miaka 35 iliyopita. Mwezi Oktoba, imetimia miaka 35 tangu Mohammed Ali atwangane na George Foreman, jijini Kinshasa.
2009-11-02T14:25:32+00:00
Baada ya ukame wa muda mrefu, mvua kubwa zilipoanza kunyesha katika mkoa wa Kaskazini Mashariki nchini Kenya zilisababisha mafuriko yaliyobomoa miundo mbinu kama barabara.
2009-11-09T16:07:11+00:00
Sofomo ™ © 2007