Sponsored Links
Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu, amesema ataharakisha kesi za watuhumiwa waliochechea vurugu baada ya uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2007.
2009-11-07T13:24:54+00:00
Viongozi mahasimu wa kisiasa wa Madagascar wamekubaliana kuunda serikali ya pamoja baada ya mivutano ya miezi kadha.
2009-11-07T13:44:34+00:00
Shirika la misaada la madaktari wasio na mipaka MSF, limedai jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, lilitumia kliniki za chanjo kama chambo kuwashambulia raia.
2009-11-07T14:00:24+00:00
Wanamgambo kusini mwa Somalia, wamempiga na mawe hadi kufa mwanaume mmoja baada ya kukiri mbele ya mahakama ya kiisilamu kuwa mzinifu.
2009-11-06T18:10:01+00:00
Waziri mkuu wa Zimbabwe amesitisha mgomo uliofanywa na chama chake kwa serikali ya muungano ya rais Robert Mugabe.
2009-11-06T01:21:22+00:00
Mamluki wanne wa Afrika kusini waliofungwa jela kwa kuhusika na njama ya mapinduzi nchini Equatorial Guinea, hawatakamatwa tena.
2009-11-06T12:52:30+00:00
Saudi Arabia imeondoa vikwazo vya kuingiza mifugo kutoka Somalia vilivyowekwa kuzuia homa ya Rift Valley.
2009-11-06T01:49:21+00:00
Zaidi ya dola bilioni moja za kimarekani zinatarajiwa kukusanywa katika mkutano wa kimataifa unaofanyika nchini Burundi.
2009-11-06T03:23:24+00:00
Kamanda mmoja mkuu wa kundi la waasi la Lords Resistance Army nchini Uganda, amejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo.
2009-11-05T10:53:57+00:00
Klabu ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, TP Mazembe, Jumamosi huenda wakawa mabingwa Afrika baada ya miaka 41.
2009-11-06T13:58:27+00:00
Timu ya vijana wenye umri ulio chini ya miaka kumi na saba inasherehekea kufuzu kwa robo fainali ya Kombe la Dunia la vijana wenye umri huo nchini Nigeria.
2009-11-06T05:10:58+00:00
Timu ya Ferrari imesema kwamba wasimamizi wa mashindano ya magari ya Formula 1 wanayapiga vita makampuni makubwa.
2009-11-05T12:54:44+00:00
Afisa mmoja mkuu wa riadha nchini Afrika kusini ameachishwa kazi kwa muda kuhusiana na namna alivyoshughulikia kashfa kuhusu jinsia ya mwanariadha Caster Semenya.
2009-11-05T19:11:09+00:00
Toleo la wavuti ya BBC Swahili linapatikana kupitia simu za mkononi, PDA na vifaa vingine vya mawasiliano ya mkononi.
2009-10-23T15:37:52+00:00
Elimu kwa vijana kuhusu afya ya uzazi.
Lilikuwa pambano la kipekee, ambalo bara la Afrika halijabahatika kushuhudia kwa miaka 35 iliyopita. Mwezi Oktoba, imetimia miaka 35 tangu Mohammed Ali atwangane na George Foreman, jijini Kinshasa.
2009-11-02T14:25:32+00:00
Sofomo ™ © 2007