Sponsored Links
Mahakama ya Kimataifa ya ICTR, imetupilia mbali rufaa iliyowasilishwa mbele yake dhidi ya hukumu ya kifungo cha miaka 15 iliyoitoa awali kwa mwimbaji Simon Bikindi.
2010-03-18T12:49:15+00:00
Mahakama ya katiba nchini Togo, imethibitisha ushindi wa rais Faure Gnassingbe, kufuatia uchaguzi uliotawaliwa na mizozo mapema mwezi huu.
2010-03-18T14:08:29+00:00
Mfalme Albert wa Pili wa Ubelgiji, atahudhuria sherehe za kuadhimisha miaka 50 tangu Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ilipojinyakulia uhuru wake.
2010-03-18T13:14:23+00:00
Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani anaenda Moscow kwa majadiliano ya Mashariki ya Kati na mkataba na Urusi wa kupunguza silaha za nuclear.
2010-03-18T07:55:10+00:00
Shirika la kimataifa la msalaba mwekundu ICRC, limesema mfanyakazi wake aliyetekwa nyara miezi mitano iliyopita katika jimbo la Darfur ameachiliwa huru.
2010-03-18T10:43:57+00:00
Baada ya mwezi mmoja tu wa kuchukuwa mamlaka ya uongozi kaimu Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameanza kudhihirisha uwezo wake kwa kuvunja baraza la mawaziri.
Makaburi ya wafalme wa Buganda, yameteketezwa na moto mkali. Polisi wanachunguza chanzo cha moto kwenye Makaburi hayo ya kihistoria.
2010-03-17T05:09:01+00:00
Shirika la Global Witness limefichua ushahidi mpya kuwa serikali ya Sudan haipo wazi katika kugawa pato la mafuta na utwala wa kusini mwa nchini hiyo.
2010-03-17T03:48:03+00:00
Polisi wa Afrika Kusini wamewafyatulia risasi za mpira watoto wa shule waliokuwa wakiandamana kumlaani mwanamuziki mmoja aliyefikishwa mahakamani kwa mashtaka ya mauaji.
2010-03-17T19:37:43+00:00
Uchunguzi umebainisha kuwa barani Afrika huchangia 4% ya hewa inayochafua mazingira pekee, licha ya kuwa bara ambalo limeadhirika zaidi na mabadiliko ya hali ya anga.
2010-03-17T07:46:37+00:00
Kumekuwa na ghasia zaidi katikati ya Nigeria ambako mamia ya watu wameua kutokana na machafuko ya kikabila mwaka huu.
2010-03-17T19:16:03+00:00
Shirika la Umoja wa Mataifa la makazi duniani, UN Habitat, limetoa ripoti inayozungumzia tabaka lililopo katika miji kwa wakazi wenye kipato kikubwa na wale walio na kipato duni.
2010-03-17T19:22:33+00:00
Komputa za shirika moja la kutetea haki za binadamu, zinazodaiwa kuwa na habari zinazohusiana na ghasia za baada ya uchaguzi nchini Kenya zimeibiwa.
2010-03-17T04:56:21+00:00
Kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi ametaka Nigeria igawanywe kuwa mataifa mawili kuepuka umwagikaji zaidi wa damu baina ya Waislamu na Wakristo.
2010-03-16T13:46:45+00:00
Mshambuliaji wa pembeni wa Liverpool Albert Riera amesema anafikiria kuihama klabu hiyo baada ya kuonekana akipuuzwa na meneja Rafael Benitez.
2010-03-18T13:18:14+00:00
Chama cha Soka cha Ghana (GFA) kimesema kinakusudia kumpata mchezaji wa zamani wa timu ya vijana wa umri wa miaka 21 ya Ujerumani Kevin Prince Boateng ili aichezee Black Stars.
2010-03-18T13:38:04+00:00
Idhaa ya Kiswahili ya BBC inafanya vipindi mbali mbali vya kukumbuka miaka 20 tangu kifo cha hayati Luambo Makiadi, a.k.a Franco, mwanamuziki maarufu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
2009-10-14T14:16:02+00:00
Waandishi wetu wa Uganda, Siraj Kalyango na Joshua Mmali walikuwa miongoni mwa waliofika eneo la Bududa mashariki mwa nchi hiyo ambako maporomoko ya udongo yalisababisha vifo vya mamia ya watu. Zifuatazo ni baadhi ya picha kutoka huko.
2010-03-11T18:00:38+00:00
Elimu kwa vijana kuhusu afya ya uzazi.
Magazeti na vyombo vya habari vya Afrika ya Mashariki.
2010-02-05T19:29:02+00:00
Sofomo ™ © 2007