Sponsored Links
Serikali ya Marekani imetoa idhini kwa raia wake kuhama miji inayopakana na Mexico, baada ya makundi ya wafanyabiashara wa dawa za kulevya kuwaua raia watatu wa Marekani.
2010-03-15T04:46:59+00:00
Raia wawili wa Ufaransa waliokuwa wameshikwa mateka wakiwa katika jamhuri ya afrika ya kati wameachiliwa huko Darfur na inaarifiwa kuwa wanaelekea Khartoum.
2010-03-15T03:53:13+00:00
Aliyekuwa mke wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Winnie Mandela, amekanusha kumtuhumu rais huyo wa zamani katika mahojiano na gazeti la Uingereza.
2010-03-14T16:17:18+00:00
Rais wa Uganda Museveni amesema kiongozi wa waasi wa LRA Joseph Kony ameonekana karibu na jimbo lenye mizozo la Darfur, magharibi mwa Sudan.
2010-03-14T07:26:23+00:00
Maelfu ya wafuasi wa waziri mkuu wa zamani Thailand wanaandamana katika mji mkuu, Bangkok, wakitaka serikali ivunje bunge na kuitisha uchaguzi mpya.
2010-03-14T08:23:21+00:00
Baada ya taarifa za vyombo vya habari kuwa inasaidia serikali ya Somalia kijeshi, utawala wa mjini Washington umekanusha vikali taarifa hizo, na kusema hazina msingi.
2010-03-13T08:49:16+00:00
Kaimu kiongozi wa Guinea, Jenerali Sékouba Konaté, amesema kuna maafisa wenzake wa kijeshi ambao wanapanga njama za kuipindua serikali ya sasa ya kijeshi.
2010-03-13T09:33:54+00:00
Serikali ya Sudan imezindua mtandao wa reli unaounganisha kaskazini na kusini mwa nchi hiyo, tangu mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kuzuka.
2010-03-12T04:57:45+00:00
Marekani imenyoshea kidole mataifa kadhaa barani Afrika katika ripoti yake ya kila mwaka kuhusu rekodi ya ukiukwaji wa haki za kibinadam barani humo.
2010-03-12T03:29:41+00:00
Matumaini ya David Beckham ya kucheza katika kombe la dunia yameanza kudidimia baada ya kiungo huyo wa kati kupata jeraha la kisigino.
2010-03-15T01:41:38+00:00
Manchester United imerejea tena kileleni katika ligi kuu ya England baada ya kuichapa Fulham kwa mabao 3-0.
2010-03-14T16:28:33+00:00
Klabu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam, Tanzania imenyakua ubingwa wa ligi kuu ya nchi hiyo, huku zikiwa zimesalia mechi mbili kabla ya kumaliza msimu.
2010-03-14T16:38:05+00:00
Matokeo ya Ligi kuu ya England ya mechi zilizochezwa siku ya Jumamosi 13/03/2010 ni kama ifwatavyo:
2010-03-13T17:23:57+00:00
Mchezaji matata wa Ivory Coast Didier Droga ameshinda tuzo la mwanasoka bora zaidi barani Afrika mwaka 2009 katika sherehe zilizofanyika mjini Accra Ghana.
2010-03-12T03:47:25+00:00
Idhaa ya Kiswahili ya BBC inafanya vipindi mbali mbali vya kukumbuka miaka 20 tangu kifo cha hayati Luambo Makiadi, a.k.a Franco, mwanamuziki maarufu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
2009-10-14T14:16:02+00:00
Waandishi wetu wa Uganda, Siraj Kalyango na Joshua Mmali walikuwa miongoni mwa waliofika eneo la Bududa mashariki mwa nchi hiyo ambako maporomoko ya udongo yalisababisha vifo vya mamia ya watu. Zifuatazo ni baadhi ya picha kutoka huko.
2010-03-11T18:00:38+00:00
Elimu kwa vijana kuhusu afya ya uzazi.
Magazeti na vyombo vya habari vya Afrika ya Mashariki.
2010-02-05T19:29:02+00:00
Sofomo ™ © 2007